Mkuu....umesema ukweli mtupu.....huo ndio huwa ni ugomvi wangu kwa jamii......kwani matokeo yake ni kumsingizia shetani bure......
Hata maandiko matakatifu yanazungumza kuwa,
"Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja"
Lakini cha kushangaza watu wanaambata na ajira na siyo wenza wao.......hapo lazima kuwe na tatizo....