BADO NATAFUTA KAZI WAKUU

BADO NATAFUTA KAZI WAKUU

Malica husna

Member
Joined
Jun 30, 2018
Posts
31
Reaction score
20
Naitwa husna nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni certificate ya kidato cha nne nina ishi dar es salaam kitunda

Wakuu natafuta kazi nina uwezo wa kuuza duka na kusimamia biashara Ipasavyo
Ni muaaminifu pia kama una kazi nyingine tofauti labda waweza nielekeza naweza ifanya kwa uwezo mkubwa

Natumai tutasaidiana wakuu

Asanteni
 
Naitwa husna nina umri wa miaka 21 elimu yangu ni certificate ya kidato cha nne nina ishi dar es salaam kitunda

Wakuu natafuta kazi nina uwezo wa kuuza duka na kusimamia biashara Ipasavyo
Ni muaaminifu pia kama una kazi nyingine tofauti labda waweza nielekeza naweza ifanya kwa uwezo mkubwa

Natumai tutasaidiana wakuu

Asanteni
Ndo ww huyo kwenye avatar
 
Njoo PM mkuu nikupe kazi ya 'uhousegirl' moyoni.
 
Nikisikia mtu anaomba kazi nashikwa na Imani yaani natamani kama niwe na kijiji changu kinafursa za kila aina, Ila bado naimani siku nitafika huko nimpe kazi kila muhitaji wa kazi...usikate tamaa utapata
 
maybe brother, but let's wait coz soon ntadeposit af ntakujuza kam ni kwel au sio.

lakini waweza jaribu kama kuna time utakuw umepumzik. Wanaonekana kuwa wa kwel coz kuna washkaj wa3 washapat hela toka katik website hii.

Viewing payed advertising sites lusmoney.club - Welcome!
u can try its very simple
I know it's simple to play it but not to win it. Hizo vitu niliangaika nazo Siku tatu mfululizo. Hakuna pesa nyepesi kiasi hiko hapa duniani. But endelea kujaribu.
 
Back
Top Bottom