Bado kuna magari na pikipiki zinazopita barabara za mwendokasi?

ikisimama panda

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
2,555
1,871
Habari akina ndugu wote, baada ya the man himself kutangaza kung'olewa kwa tairi za pikipiki na magari yote yatakayopita kwenye barabara za mabasi ya mwendokasi na utekelezaji wake na kwamba hiyo tabia imekoma kabisa, hii inamaanisha wabongo wengi hii lugha ya nguvu ndo pekee tunayoielewa??
 
Back
Top Bottom