funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
Ili kuwasaidia TRA kukusanya kile kilicho halali yao ni vyema tukawa wanoko na kuwatumbua wafanyabiashara wajanjawajanja.
TRA Arusha bado inahitaji kufanya kazi kubwa kwani kuna maduka mengi au kadhaa ya wahindi hayatumii mashine za EFD...sina haja ya kuyataja lakini ni kazi ya TRA Arusha kupita kwenye maduka ya wahindi katikati ya jiji la Arusha na kuhakikisha mashine zinatumika na risiti zunatolewa.
TRA Arusha bado inahitaji kufanya kazi kubwa kwani kuna maduka mengi au kadhaa ya wahindi hayatumii mashine za EFD...sina haja ya kuyataja lakini ni kazi ya TRA Arusha kupita kwenye maduka ya wahindi katikati ya jiji la Arusha na kuhakikisha mashine zinatumika na risiti zunatolewa.