Ipo moja ndio ninayo itumia, ila inahitaji darasa hivi hivi huwezi fanya chochote.wadau naombeni msaada wa kupata application ambayo nitaweza kuedit background ya picha zangu.
msaada kutoka kwenu wakuu
Ipo moja ndio ninayo itumia, ila inahitaji darasa hivi hivi huwezi fanya chochote.
Inaitwa photo editor. Icon yake ni ya blue halafu imechorwa camera kama inamkasi kwa pembeni.
Toa darasa kabisa kwa faida ya wote mkuu,,Ipo moja ndio ninayo itumia, ila inahitaji darasa hivi hivi huwezi fanya chochote.
Inaitwa photo editor. Icon yake ni ya blue halafu imechorwa camera kama inamkasi kwa pembeni.
Toa darasa kabisa kwa faida ya wote mkuu,,
wadau naombeni msaada wa kupata application ambayo nitaweza kuedit background ya picha zangu.
msaada kutoka kwenu wakuu
Umeipata? Kama bado ingia hapa https://play.google.com/store/apps/details?id=com.iudesk.android.photo.editor
Nipe ujanja wa kutumia photo editor nimeshaipakua Mzee ila kutumia siwezi namba 0789571115Umeipata? Kama bado ingia hapa Photo Editor - Apps on Google Play