Bachelor of science general

Bachelor of science general

cleverT

Member
Joined
Jun 2, 2015
Posts
41
Reaction score
1
Naomba kuuliza hii course ipo VP kwa upande WA ajira zake hasa zinakua wapi namaanisha application yake baada ya kuimaliza na ajira zake kwa ujumla nawasilisha mwenye uelewa na hii anisaidie
 
kaka nimesoma iyo kitu nimemaliza mwaka 2013, ajira zake ni ngumu kama chuma yani sitaki ata kuelezea
 
Hiyo course unaspecilize kwa masomo machache either vhemistry MBB au chemistry microbiology AU botany chemistry. Mm nilipangiwa botany chemistry nikahamia chemistry pure sema nasikia nzuri hasa chemistry and microbiology tbs, tfda na wiwandan kaz zipo za kutosha nadhan mpaka mohospitalin wanafanya kaz kuna jamaa aliniambia anakwenda bugando job sema sijamdodosa zaid
 
kaka nimesoma iyo kitu nimemaliza mwaka 2013, ajira zake ni ngumu kama chuma yani sitaki ata kuelezea

yaan ww kaz yako ni kuongea pumba..hv umesoma koz ngap ww?maana hatukuelew mara huku, moderator hebu shughulika na huyu mtu anakatisha tamaa watu,
 
Hiyo course unaspecilize kwa masomo machache either vhemistry MBB au chemistry microbiology AU botany chemistry. Mm nilipangiwa botany chemistry nikahamia chemistry pure sema nasikia nzuri hasa chemistry and microbiology tbs, tfda na wiwandan kaz zipo za kutosha nadhan mpaka mohospitalin wanafanya kaz kuna jamaa aliniambia anakwenda bugando job sema sijamdodosa zaid

hyoo chemistry MBB ndo ipoje kaka naomba umdodose mshkji basi kuhusu hapo bugando
 
Back
Top Bottom