Bachelor of science economics in project planning and management.

Bachelor of science economics in project planning and management.

REgy 2pa

Member
Joined
Aug 5, 2016
Posts
38
Reaction score
13
Naombeni Msaada wadau wa jukwaa la elimu kuhusiana na hyo faculty iko poa hasa kwenye soko la ajira hata katka kujiajiri mwenyewe.maana nimeiweka katika priorities zangu nilizo chagua.lakini siifahamu kwa kina
 
Hiyo siyo faculty iyo ni course. ..hawa form six wasumbufu sanaa asee
 
Hiyo siyo faculty iyo ni course. ..hawa form six wasumbufu sanaa asee
Hahaaaa........wavumilie vijana wa siku hizi ndo tulivyo.... maana mi nshawahi kukuta mwanafunzi wa chuo mwaka wa tatu..anadai anasoma faculty ya pspa
 
Anyway kwa suala la ajira kukushauri nitakuwa muongo kwani siamini sana katika kuajiriwa.
Ila sasa kwenye kujiajiri huku inatakiwa wewe mwenyewe uwe tayari na malengo kwamba unataka baadae ujiajiri katika sekta gani kwa mfano kama unataka kuwa na ofisi yako ya consultancy hiyo course itakusaidia sana. Ila sasa kuna kujiajiri kwenye shughuli ambazo hazihitaji umesoma course gani university. Kwa mfano unataka kufungua bakery kubwa hii sidhani kama inarelation ya moja kwa moja na course yeyote kwani ukishakuwa na mtaji unaajiri watu wenye taaluma hiyo.
I think nimekusaidia kidogo. So angalia kwanza ndoto zako mwenyewe ndio uombe ushauri be more specific
 
Jina la kozi linavutia sana, kwaharaharaka it seems ni kozi nzuri sana kwa ujasiriamali. Lakini ungeleta curicullum yake yote ndiyo ningeweza kukupa ushauri mujarabu
 
Anyway kwa suala la ajira kukushauri nitakuwa muongo kwani siamini sana katika kuajiriwa.
Ila sasa kwenye kujiajiri huku inatakiwa wewe mwenyewe uwe tayari na malengo kwamba unataka baadae ujiajiri katika sekta gani kwa mfano kama unataka kuwa na ofisi yako ya consultancy hiyo course itakusaidia sana. Ila sasa kuna kujiajiri kwenye shughuli ambazo hazihitaji umesoma course gani university. Kwa mfano unataka kufungua bakery kubwa hii sidhani kama inarelation ya moja kwa moja na course yeyote kwani ukishakuwa na mtaji unaajiri watu wenye taaluma hiyo.
I think nimekusaidia kidogo. So angalia kwanza ndoto zako mwenyewe ndio uombe ushauri be more specific
Nimekuelewa mkuu.Asante
 
Jina la kozi linavutia sana, kwaharaharaka it seems ni kozi nzuri sana kwa ujasiriamali. Lakini ungeleta curicullum yake yote ndiyo ningeweza kukupa ushauri mujarabu
Hyo course nimeiona mzumbe,maana nilitaka kuapply ba in economic lakn mzumbe general hamna ndio nkachagua hyo.
 
Kuna courses nyngne lazima uwe makin nazo 7bu huwa ht ukienda kwa soko la ajira huwa hazielewek unaajiriwa km nan maana utakuta ht kwny kitabu cha ajira haipo,usiishie humu tu uliza na kwngne
 
Anyway kwa suala la ajira kukushauri nitakuwa muongo kwani siamini sana katika kuajiriwa.
Ila sasa kwenye kujiajiri huku inatakiwa wewe mwenyewe uwe tayari na malengo kwamba unataka baadae ujiajiri katika sekta gani kwa mfano kama unataka kuwa na ofisi yako ya consultancy hiyo course itakusaidia sana. Ila sasa kuna kujiajiri kwenye shughuli ambazo hazihitaji umesoma course gani university. Kwa mfano unataka kufungua bakery kubwa hii sidhani kama inarelation ya moja kwa moja na course yeyote kwani ukishakuwa na mtaji unaajiri watu wenye taaluma hiyo.
I think nimekusaidia kidogo. So angalia kwanza ndoto zako mwenyewe ndio uombe ushauri be more specific
Ninaamini ushuri huu haujatolewa n Mtu aliekwenda shule,Bachelor of economics in project planning and management unasema haina uhusiano kwenye biashara ya backery?unawapoteza watu ndugu,Hiyo course inaingia almost kwenye kila aina ya mradi unaofanyika Duniani,Ukishataja Economics hata walioanzisha JF walitafakari hili ,project planning ...Hii ni applicable kwenye kila sector ya uzalishaji whether umejiajiri kwenye backery au kulima kama umesoma project planning if you apply the knowladge yu must win . Management ...yenyewe kwa difinition yake itamsaidia kwenye hiyo biashara ya backery kama ulivyotaja akiajiri watu wengi au wachache. Zote kwa pamoja zina mchango kwa mtu kujiajiri mwenyewe. Pia nadhani kwa kuwa watu wamezoea kutoa matusi kwenye Nyuzi zingine wanakallili hata kijana wa form six anaeomba ushauri lazima apewe lugha za karaha au matusi. Wewe wakwetu ngirini unapaswa kumuomba REgy 2pa msamaha kwa maneno yako ya kumdanganya,kumkejeli anaetafuta ushauri,kumtukana anaeomba njia.kama hutaomba msamaha hadharani mungu atakuadhibu wewe wakwenu Ngirini.
 
Back
Top Bottom