Nahitaji ushauri jamani95% ya waliosoma hiyo kozi ni bora wangeuza mitumba. Ada ya mwaka mmoja tu na matumizi yake ukiwekeza kwenye mitumba ukafanya kazi miaka mitatu wakati wenzako wanafanya graduation wewe ushapiga hatua na ushajifunza mambo mengi.
Ila dunia haiko fair, unaweza toka kivyako na elimu hiyo hiyo
Naamini ukijituma kikamilifu kingereza kina future nzuri. Wengi wetu ni wabovu kwa lugha hii. Unaweza hata kujiajiri kunyoosha vingereza vya watu ( editing na proof reading), translation na tuition etc.Nahitaji ushauri jamani
Yes ipo UDOM kiongoziHii kozi sijawahi kuisikia Ila nahisi itakua udom bila shaka
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
As much as I know you must be dumb in your head to study that kind of useless course and matter of fact you are going to waste 3 years for nothing. By the way it would have been better for you to start a retail business than wasting time in university.Jamani walimu pamoja na wazoefu naomba ushairi kuhusu hi course jamani
Huo niliokupa ni ushauri sahihi kwangu. Ningekuwa wewe nisingeenda kusoma kozi ambayo sioni future yake wala itanisaidia nini. Kusoma hiyo ni kubahatisha nafasi za ualimu zaidi, tofauti na hapo sioni kama utakuwa Ras Simba mwingine ama namna gani.Nahitaji ushauri jamani
Kwa kingereza hiki inabidi na we ukasome hiyo BA English.As much as I know you must be dumb in your head to study that kind of useless course and matter of fact you are going to waste 3 years for nothing. By the way it would have been better for you to start a retail business than wasting time in university.
Sina huo mda nipo nakomaa natubiashara twangu mjini while I'm using my free time to learn English.Kwa kingereza hiki inabidi na we ukasome hiyo BA English.
Sasa mbona unaandika andika kama mtoto? Ndio umechaguliwa au unataka kuichagua?Jamani walimu pamoja na wazoefu naomba ushairi kuhusu hi course jamani
Soma vitu vigumu, achana na vitu rahisiNahitaji ushauri jamani
Ndio nilichaguliwa kusomeaSasa mbona unaandika andika kama mtoto? Ndio umechaguliwa au unataka kuichagua?
Nitakushauri kwa ku assume kwamba umechaguliwa..
Nenda kasome ila hakikisha unaanza kujijenge mentallity ya kujiajiri mapema uwezavyo. Pambana ukimaliza uanze kujiweka vizuri online/kwenye social media hasa linkedin na youtube kwa kufundisha watu hasa wa nje lugha ya kiswahili (kama hujui kufundisha kiswahili tafuta mwezako chuoni msaidiane).
Kama utakua na kitu kichwani hutalala njaa ila kama utamaliza alafu ukae kwa mama ako ukingojea ajira za serikali HAMNA RANGI UTAACHA ONA (rudia tena kusoma haya maneno yenye herufi kubwa mpaka yakae kichwani).
NB: Kwa sababu ufakua unajua ngeli unaweza ukajifunza digital marketing na copywritting alafu ukawa freelancer.