Babu yangu ni mfugaji anaye ishi kando kando ya ziwa Victoria na sjui ni kwanini Babu aliamua kuwa mfugaji kuliko kuwa mvuvi wa samaki wanao patikana kwa wingi ziwani , naona hilo lisinisumbue kuna siku Lita bainika na kuwa wazi zaidi .
Turudi kwenye mada husika kwanini nasema Babu hanithamini.
Ukweli nikwamba nimeishi na Babu kwa muda mrefu sana na huku Mimi nikiwa ndiyo mchapa kazi hodari wa kazi za halo nyumba . Malishoni jua lilikuwa langu na mvua .
Karibu na kwa Babu yangu kulikuwa na familia moja ambayo ilipambana sana kupata maisha bora lakini mambo yakawa hawaendei vizuri japo jamii ya pale tulipo kuwa tuki ishi iliipenda sana familia hii kwa jinsi walivyo kuwa wapambanaji katika kutafuta maisha bora na wala si kwa ajili yao tu Bali kwa ya wana kijiji wote .
Kadri Siku zilivyo enda waligundua fursa ya uwezekano wa kupata maisha bora yako pale nyumbani kwa Babu , na kumbe cha ajabu sana waliisoma tabia ya Babu yangu kuwa alikuwa MTU kandamizi kwa watu nyumbani na kwamba alikuwa hapendi maendeleo kwa sana familia hiyo.
Hivyo kwa kutumia mwanya huo wakaanza kuja nyumbani kwetu kwa kisingizio cha kuja kumsaidia Babu kufanya kazi pia waka mlemba kwa sifa nyingi , na ukweli ni kwamba Babu alikuwa mpenda sifa. Basis babu alipo ona sifa zina miminika kutoka kwa familia hii ya wageni akaanza kututelekeza ,tulikuwa tukilala kwenye nyumbani nzuri Mara tukahamishiwa banda LA uani Sikh sinyingi tukamishiwa kwenye kibanda kinacho vuja mvua ikinyesha huku wageni wakichukuwa nafasi na kupewa kazi zilizo bora kuliko Mimi niliye sota na Babu kwa muda mrefu.
Jamani naomba msaada wenu nifanye mini ili Babu aweze kurudisha mapenzi yake kwangu na kunithamini ?
Turudi kwenye mada husika kwanini nasema Babu hanithamini.
Ukweli nikwamba nimeishi na Babu kwa muda mrefu sana na huku Mimi nikiwa ndiyo mchapa kazi hodari wa kazi za halo nyumba . Malishoni jua lilikuwa langu na mvua .
Karibu na kwa Babu yangu kulikuwa na familia moja ambayo ilipambana sana kupata maisha bora lakini mambo yakawa hawaendei vizuri japo jamii ya pale tulipo kuwa tuki ishi iliipenda sana familia hii kwa jinsi walivyo kuwa wapambanaji katika kutafuta maisha bora na wala si kwa ajili yao tu Bali kwa ya wana kijiji wote .
Kadri Siku zilivyo enda waligundua fursa ya uwezekano wa kupata maisha bora yako pale nyumbani kwa Babu , na kumbe cha ajabu sana waliisoma tabia ya Babu yangu kuwa alikuwa MTU kandamizi kwa watu nyumbani na kwamba alikuwa hapendi maendeleo kwa sana familia hiyo.
Hivyo kwa kutumia mwanya huo wakaanza kuja nyumbani kwetu kwa kisingizio cha kuja kumsaidia Babu kufanya kazi pia waka mlemba kwa sifa nyingi , na ukweli ni kwamba Babu alikuwa mpenda sifa. Basis babu alipo ona sifa zina miminika kutoka kwa familia hii ya wageni akaanza kututelekeza ,tulikuwa tukilala kwenye nyumbani nzuri Mara tukahamishiwa banda LA uani Sikh sinyingi tukamishiwa kwenye kibanda kinacho vuja mvua ikinyesha huku wageni wakichukuwa nafasi na kupewa kazi zilizo bora kuliko Mimi niliye sota na Babu kwa muda mrefu.
Jamani naomba msaada wenu nifanye mini ili Babu aweze kurudisha mapenzi yake kwangu na kunithamini ?