Babu kaenda kumtembelea mwanawe.kufika,akapewa vyakula vingi sana.akala akashiba kwelikweli.akamwambia mwanawe, "dah,nimeshiba kweli!"mwanawe akamwambia, "haya basi,wacha nikuletee TISHU."babu akateta, "mwanangu,unataka nife.Eka iyo TISHU ntakula kesho!"