Babu achezea masaburi ya waendesha bodaboda

Babu achezea masaburi ya waendesha bodaboda

Midavudavu

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
287
Reaction score
59
Ma bar maid kazi kwelikweli. Chumba changu dirisha langu linapakana na chumba chao. Wakirudi usiku huwa nasikia "pwa pwa pwa, fyuuuu, mbwiiii, bwiii, psiii, fyumu, buuu, ndiii kama hii haitoshi nasikiaga pia nyauu. Wenye bar waongezeeni mshahara hawa ndugu zetu wanachoka sana.
 
Mbona hakuna uhusiano kati ya kichwa cha habari na habari yenyewe? au ndo ulikuwa unataka kupost wakati unaendesha bodaboda zen babu akatokea nini?
 
Ma bar maid kazi kwelikweli. Chumba changu dirisha langu linapakana na chumba chao. Wakirudi usiku huwa nasikia "pwa pwa pwa, fyuuuu, mbwiiii, bwiii, psiii, fyumu, buuu, ndiii kama hii haitoshi nasikiaga pia nyauu. Wenye bar waongezeeni mshahara hawa ndugu zetu wanachoka sana.

Pombe zikikuisha rudi hapa usome title na ulicho post.
 
Siku nyingine usiingie JF ukiwa majani.
 
Lazima huyu mleta hoja atakuwa ni victim wa huyu babu na kashapewa talaka yake!
 
Back
Top Bottom