Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,777
- 24,212
Leo Ni FATHER'S DAY lakini Watu Wamejikausha Hawana Wala Shobo Za Ku-post Washua Zao,Kama inavokuwaga Siku Ya MAMA Duniani,Mitandao Ya Kijamii ingechafuka
Kwangu Mimi mshua ni mtu ambaye hatunaga story nyingi zaidi ya kunipa majukumu na kunigombeza nnapokosea. Kumbuka hajawahi kunipongeza
Lakini hili ndilo lililonijenga kuwa disminder kiasi Kwamba hata unitukane, unipongeze, I don't Care
Sijui, Washua Walitukoseaga Nini?
Kwangu Mimi mshua ni mtu ambaye hatunaga story nyingi zaidi ya kunipa majukumu na kunigombeza nnapokosea. Kumbuka hajawahi kunipongeza
Lakini hili ndilo lililonijenga kuwa disminder kiasi Kwamba hata unitukane, unipongeze, I don't Care
Sijui, Washua Walitukoseaga Nini?