Baba Tunakukumbuka

Kwa upande wangu Mimi naona yanayoendelea yote ni sawa tu, watanzania tumezidi unafki. Kagufuli alijitoa sana kuipambania nchi hii lakini tuksungana na wezi kumshambulia na kumtukana.
Na bado yajayo yanafurahisha
Kwani hangaya ni mpinzani?muungeni mkono hata kama mnahisi hawezi hasa mkikumbuka ule wimbo wenu maarufu ''ccm ni ile ile ooh ni ile ile'
 
Wewe ulitaka wale bata?
Uliambiwa jela ni hotelini?
Kaa kimya kuficha ujinga wako kwa sababu huna akili wala uwezo wa kuelewa hiyo habari ya BBC hapo.

Hakuna anaepinga wafungwa kufanyishwa kazi kwa kuwa hilo lipo kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.

Unique feature ya hiyo habari ya BBC siyo wafungwa kufanyishwa kazi.

Jambo ambalo linaonyesha kuwa Magufuli hana akili kwenye hiyo habari ni kitendo chake kuagiza wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana na wapigwe mateke kitu ambacho ni kinyume na katiba yetu.

Licha ya Magufuli kufanya kazi muda mrefu serikalini lakini anashindwa kuelewa jambo dogo kabisa kuwa nchi haiendeshwi kwa mujibu wala kwa matakwa wala kwa mapenzi ya Rais bali kwa mujibu na matakwa ya katiba.
 
Jinga kabisa, ulimpinga Magufui ulimtukana na kumpinga na Chui jike pia humtaki.
Kaa kwa kutulia, au unataka aongoze mzee wako?
 
Jinga kabisa, ulimpinga Magufui ulimtukana na kumpinga na Chui jike pia humtaki.
Kaa kwa kutulia, au unataka aongoze mzee wako?
Sasa kati ya Mzee wangu na huyu unaempigia debe ni nani bora?๐Ÿ‘‡
Your browser is not able to display this video.
 
Rubbish ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Mkumbuke mwenyewe, jambazi kabisa lile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ