As long as waliahirisha mawazo yao mabaya, hawana kosa na wala hakuna tatizo lolote.
Kama wangeenda Hospital kabisa kutoa halafu wakashindwa wangekuwa na makosa ambapo hata hivyo angepaswa tu awasamehe.
Huyo rafiki yako atakuwa matatizo ya kisaikolojia, ongea nae umsaidie