Baba Mtakatifu

SirAlfred006

JF-Expert Member
Sep 21, 2020
509
1,210
Mzee kachafuka pamba kali na chain litakatifu.

Kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, amen.
1679839962457.jpg


Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
eti baba mtakatifu. hakuna kitu kama hicho, wenge zenu tu
Yesu aliagiza mtu asiitwe baba duniani, nyie mmeongeza mtakatifu kabisa. aisee

Mathayo 23:9-12​

Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo. Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu. Na ye yote atakayejikweza, atadhiliwa; na ye yote atakayejidhili, atakwezwa
 
eti baba mtakatifu. hakuna kitu kama hicho, wenge zenu tu
Yesu aliagiza mtu asiitwe baba duniani, nyie mmeongeza mtakatifu kabisa. aisee

Mathayo 23:9-12​

Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni. Wala msiitwe viongozi; maana kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo. Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu. Na ye yote atakayejikweza, atadhiliwa; na ye yote atakayejidhili, atakwezwa
Mitandao ya kijamii haitaki hasira bro

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom