Baba bora wa JF

Hahahaha umenipa maujiko afu ukamalizia na mharibiko ...... khaa!
I think this explains why...
kuna mababa wanakula kuku na mayai yake:madgrin:

Wewe babu yangu ulikua unatoaga maushauri mazuri sana wewe and i remember my aunts walikuwa wanafaidi sana kwa michango yako tatizo lilikuja ulipoongeza muda wa kukalia viti virefu....
Afu sor ile ofa ndo naiona asubuhi hii...can it be carried forward!???
 
Dark City hahaha..kwa kutafuta maujiko!?? Haya bana..itabidi Bibi DC aje atueleze hapa...

Ila pia bwana @The Boss nadhani ningeweza kumpa namba 3......


Wewe Mentor bwana.....

Unaamua kumrusha babu asubuhi hii...

Ngoja nimpe hii msg Bibi DC aniandalie supu ya makongoro!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Nimeipenda hii!


Dark City, sidhani kama unaweza kuwa baba mzuri bila kuwa mume mzuri.

Hayo ya matenga ya nyanya, jogoo, mchele na mkaa siku ya wapendanao ndo yamenifanya nikakuchagua kuwa baba mzuri only if kama unafanya kweli hayo.
 

Duh! haya bwana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…