Baba abaki kinywa wazi

Baba abaki kinywa wazi

Code Breaker

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
1,019
Reaction score
446
Baba mmoja mtaani kwao alikuwa anamfundisha mwanae wa darasa la tatu hesabu za kujumlisha ili amuongezee uwezo wa kumudu hesabu na kulipenda somo hilo..... Nilikuta mazungumzo yao yakiwa hivi:
Baba: Wewe Kimbegu, mbili jumlisha tatu ni ngapi?(2+3=?)
Kimbegu: Kimya kwa muda......
Baba: Hujanielewa au?
Kumbegu: Katikisa kichwa kuashiria kukubali kwamba hajaelewa....
Baba: Hebu fikiria Aunt yako kakupa maandazi mawili akakuongeza na mengine matatu... Jibu kitakuwa nini?
Kimbegu akatabasamu.... Akajibu " Asante Aunt"
Baba: Mxuuuuuuuu..... Inabidi tukapime vina saba na Wewe .
 
Baba mmoja mtaani kwao alikuwa anamfundisha mwanae wa darasa la tatu hesabu za kujumlisha ili amuongezee uwezo wa kumudu hesabu na kulipenda somo hilo..... Nilikuta mazungumzo yao yakiwa hivi:
Baba: Wewe Kimbegu, mbili jumlisha tatu ni ngapi?(2+3=?)
Kimbegu: Kimya kwa muda......
Baba: Hujanielewa au?
Kumbegu: Katikisa kichwa kuashiria kukubali kwamba hajaelewa....
Baba: Hebu fikiria Aunt yako kakupa maandazi mawili akakuongeza na mengine matatu... Jibu kitakuwa nini?
Kimbegu akatabasamu.... Akajibu " Asante Aunt"
Baba: Mxuuuuuuuu..... Inabidi tukapime vina saba na Wewe .

hahaha nimeipenda hiyo
 
Back
Top Bottom