Lissu ni kivutio cha hoja na Spana , hatukuwahi kusema ni kivutio kwa ulemavu wake uliosababishwa na Mauaji yaliyopangwa na Mwenyekiti wa ccm John Magufuli .
Msitake kuleta mashambulizi ya kijinga kwangu , hamtaweza , nafahamu kwamba wewe ni miongoni mwa wanaccm mliopewa kazi ya kuniloga , lakini kwa nguvu ya Mungu mkashindwa , nawafahamu kwa majina yenu yote ya ubatizo , mkishindwa hoja nyamazeni , huwezi kushindana na aliyenyakuwa tuzo hapa JF na ukategemea kushinda .
Natoa onyo la mwisho kwako na masikini wenzio mnaotaka kudivert hii mada , Wajinga wakubwa nyie !