ccm baba mwizi,mama mwizi,mtoto mwizikwani mbali sana basiii.....tuzidi kuwepo tuu.
ccm baba mwizi,mama mwizi,mtoto mwizi
ccm baba mwizi,mama mwizi,mtoto mwizi
Ana mvuto au alianza kampeni kitambo? Punguza mawenge. Hata JK alionekana na mvuto. Enough is enough nchi si ya majaribio hii. Kujaribisha nchi ndo kumefanya sasa dola inatrade kwa buku mbili bado tena unataka tuendelee kujaribu kutoka kwenye kundi lile lile lilitufanya kitu mbaya?Kama Ni fisadi au mwizi Mbona ana Mvuto Nje na Ndani ya Chama Kulikoni Mtia Nia yoyote. NADHANI Kuna Majungu na Chuki Binafsi ambazo Mwisho wa siku Zitakuwa Wazi.
Jitieni Uchizi na Llikate jina lake ( aliye Kipenzi na Chaguo la Wengi), hapo ndipo kauli ya Baba wa Taifa Mwl nyerere itakuwa Imetimia kwa CCM Kuzigawana Mbao Mapema tu hata Kabla ya Uchaguzi Mkuu-October.
Kama Ni fisadi au mwizi Mbona ana Mvuto Nje na Ndani ya Chama Kulikoni Mtia Nia yoyote. NADHANI Kuna Majungu na Chuki Binafsi ambazo Mwisho wa siku Zitakuwa Wazi.
Jitieni Uchizi na Llikate jina lake ( aliye Kipenzi na Chaguo la Wengi), hapo ndipo kauli ya Baba wa Taifa Mwl nyerere itakuwa Imetimia kwa CCM Kuzigawana Mbao Mapema tu hata Kabla ya Uchaguzi Mkuu-October.