johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,418
- 147,089
UONGO Simba ilikuepo kabla ya MOMO akiondoka Simba, Simba HAIWEZI kufika popote. Nimekaa pale!!!!
MANJI akiondoka Yanga haifiki popote GSM kaweka mpunga Yanga ile pale una la kusema lingine ?MO akiondoka Simba, Simba HAIWEZI kufika popote. Nimekaa pale!!!!
Sahihi kabisa. Ilikuwa inaweza kumsajili Sakho, Inonga na wengineo au iliwasajili akina Pape N'daw!UONGO Simba ilikuepo kabla ya MO
✍️
Haujanielewa omba kueleweshwa nikuelewesheSahihi kabisa. Ilikuwa inaweza kumsajili Sakho, Inonga na wengineo au iliwasajili akina Pape N'daw!
Kwahiyo unahisi unayajua mambo ya Simba saaaana kuliko mimi! Ahahahahahahaha!!!!!!Haujanielewa omba kueleweshwa nikueleweshe
✍️
Yes of course actually yes najuaKwahiyo unahisi unayajua mambo ya Simba saaaana kuliko mimi! Ahahahahahahaha!!!!!!
Ahahahahahah! All the best!Yes of course actually yes najua
✍️
Nini kwani unajua usajiri mpya wa leo nani anatambulishwa ?Ahahahahahah! All the best!
Mo ilimshinda Singida United ataiwezaje SimbaMO akiondoka Simba, Simba HAIWEZI kufika popote. Nimekaa pale!!!!
MO akiondoka Simba, Simba HAIWEZI kufika popote. Nimekaa pale!!!!
Kwani pale Simba Mo ana miezi mingapi tangu awekeze? Hizi akili matope hizi, na wewe umekaribia kubinafsishwa kama bandari.Mo ilimshinda Singida United ataiwezaje Simba
Miaka 6 na ameshajikatia tamaa😂😂Kwani pale Simba Mo ana miezi mingapi tangu awekeze? Hizi akili matope hizi, na wewe umekaribia kubinafsishwa kama bandari.
Amewekeza bil 85Zile bilion 20 ziko wapi, atoe ndo aondoke
Kigwangala sijui huwa anajikuta Nani nchi hii. Yaani viongozi wa Tanzania huwa hawana aibu kuonyesha kiwango cha ufisadi walichodhulumu Watanzania. Huyu anaringia utajiri wa mifugo ya Wafugaji iliyokuwa inaingizwa kwenye hifadhi na kupigwa mnada bila kesi kufikishwa mahakamani halafu Leo anajifanya anaweza kuendesha timu kama Simba? Yaani eti Kigwangala naye anajiita Hustler!!Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Kigwangalla amesema kampuni ya HK Group sasa iko tayari kuwekeza katika Vilabu vikubwa nchini Simba SC na Dar Young Africans
Ikumbukwe Mwekezaji Mo Dewji amesema ameanza kukata tamaa na Uwekezaji wake pale Simba
Dr Kigwangalla ametoa ofa hiyo kupitia ukurasa wake wa twitter!
Dunia hii bila dhuluma hujatajirika badoKigwangala sijui huwa anajikuta Nani nchi hii. Yaani viongozi wa Tanzania huwa hawana aibu kuonyesha kiwango cha ufisadi walichodhulumu Watanzania. Huyu anaringia utajiri wa mifugo ya Wafugaji iliyokuwa inaingizwa kwenye hifadhi na kupigwa mnada bila kesi kufikishwa mahakamani halafu Leo anajifanya anaweza kuendesha timu kama Simba? Yaani eti Kigwangala naye anajiita Hustler!!