mbali wapi unamanisha? kwani tuko safariniKikubwa naongelea katika ukuaji wa uchumi na mfumuko wa bei , nidhani ya uongozi na utendaji kazi katika Nchi yetu {heshima ya hela na kazi imerudi nchini}.........naendelea na utafiti nitarudi baadae kidogo
Kikubwa naongelea katika ukuaji wa uchumi na mfumuko wa bei , nidhani ya uongozi na utendaji kazi katika Nchi yetu {heshima ya hela na kazi imerudi nchini}.........naendelea na utafiti nitarudi baadae kidogo
Mkuu, yaani hapo hujakosea kabisaa, maana MKAPA aliweza kukusanya fedha za kutosha hivyo kwa kuwa JPM ana ubahili naamini tungepiga Hatua kubwa sana maendeleo.Kikubwa naongelea katika ukuaji wa uchumi na mfumuko wa bei , nidhani ya uongozi na utendaji kazi katika Nchi yetu {heshima ya hela na kazi imerudi nchini}.........naendelea na utafiti nitarudi baadae kidogo
Jiulize ww unekuwepo!?Kikubwa naongelea katika ukuaji wa uchumi na mfumuko wa bei , nidhani ya uongozi na utendaji kazi katika Nchi yetu {heshima ya hela na kazi imerudi nchini}.........naendelea na utafiti nitarudi baadae kidogo
Mkapa alizibiti mfumuko wa bei saiv hakuna mfumuko wa bei?Mkuu, yaani hapo hujakosea kabisaa, maana MKAPA aliweza kukusanya fedha za kutosha hivyo kwa kuwa JPM ana ubahili naamini tungepiga Hatua kubwa sana maendeleo.
Nakuunga mkonoPlease see your doctor
hahahaha na kweliKumbe na ambao hawajammiss JK wapo