Baada ya Mkapa angefuata Magufuli nchi yetu ingekuwa mbali sana sasa hivi

Kikubwa naongelea katika ukuaji wa uchumi na mfumuko wa bei , nidhani ya uongozi na utendaji kazi katika Nchi yetu {heshima ya hela na kazi imerudi nchini}.........naendelea na utafiti nitarudi baadae kidogo

Inchi Inapotea Kabisa Kwa Sasa, Hadi Kufikia 2020 Tutaipita Zimbabwe
 
Kikubwa naongelea katika ukuaji wa uchumi na mfumuko wa bei , nidhani ya uongozi na utendaji kazi katika Nchi yetu {heshima ya hela na kazi imerudi nchini}.........naendelea na utafiti nitarudi baadae kidogo
Mkuu, yaani hapo hujakosea kabisaa, maana MKAPA aliweza kukusanya fedha za kutosha hivyo kwa kuwa JPM ana ubahili naamini tungepiga Hatua kubwa sana maendeleo.
 
Hta angekuwa je mtu kama ana roho mbaya atakufa tu na roho mbaya yake. Chunguza kwenye familia yake. Utagundua hta wanafamilia wake hawanaraha ingawa pesa zipo.
 
Kikubwa naongelea katika ukuaji wa uchumi na mfumuko wa bei , nidhani ya uongozi na utendaji kazi katika Nchi yetu {heshima ya hela na kazi imerudi nchini}.........naendelea na utafiti nitarudi baadae kidogo
Jiulize ww unekuwepo!?
 
Heshima ya kazi na hela maana yake nini?
Ingekuwa kipindi cha JK by this time ningekuwa na hotel na ningetoa ajira kwa watu wasiopungua 20 za kudumu, sasa unaposema heshima ya hela! Kwamba pale napokunywa na kula na rafiki zangu nakuwa sina heshima ya hela au? Au pale mwanangu anapoenda shule nzuri yenye mazingira ya hotel nakuwa sina heshima ya hela!
So nimpeleke shule ya kata ndo heshima ya hela? Nisinywe beer wala nisitoe tips? Acheni mawazo ya kimaskini!
 
Mkuu, yaani hapo hujakosea kabisaa, maana MKAPA aliweza kukusanya fedha za kutosha hivyo kwa kuwa JPM ana ubahili naamini tungepiga Hatua kubwa sana maendeleo.
Mkapa alizibiti mfumuko wa bei saiv hakuna mfumuko wa bei?
 
Mkapa
Deep green
Kagoda
IPTL
EPA
Nyumba serikali kuuza
Mauwaji Zanzibar
Raia wapumbavu na malofa
nk

Wine
Saanane
mkatoliki
kufunga wapinzani
Sukari bei juu
Elimu bure ziiii
Uhuru wa habari kapuni
Bunge live ....chumbani
Katiba mpya...siyo kampeni aliyoombea kura
Hashauriki
wahisani wametoweka
uchumi ziiii
mikwara debe....mimi sijalibiwi

Huko mbali ni postively au negatively....nadhani tungefika mbali kwa kurudi nyuma zaid na zaidi.
 
Una hoja, kilichonisikitisha juzi ni watunga sheria wetu kuendelea kuamini kuwa awamu ya nne haijawahi kuwepo tangu enzi za mkoloni (achana na uhuru) na haitakuja tokea. Very disappointing!
 
Back
Top Bottom