Don't hate a player, Hate the audience.don't air your dirty laundry...sijui una miaka mingapi..ila vitu vingine vinahitaji kubaki private..
huko huko chatoambao tuko chato kumpokea mu7 tuna comment wapi?
Uzi tayari
ha ha ha ha siku zingine alikuwa anakufikisha wapi mkuuNitawachosha wasomaji
Safi sana.Kaka akoo yupo vizur ananiambia mm ni gentleman
ha ha ha ha siku zingine alikuwa anakufikisha wapi mkuu
ha ha ha ok endelea kufika kileleni mkuuNi story ndefu alinikut nipo kwenye stress za mapenzi nakumbk aliniambia hakika ipo siku utafurahia mapenzi yani kazi yke ni kunitoa kule nilikokuwa kunileta kwenye dunia ya mahabaaaa ndiyo nilichoweza .
Yan nashindwa hata kuelezeaaa nakwambia.
Safi sana.
Mie ni muhenga wa kiwango cha standard gaugeHahahaha wewe ni muhenga kwan mzinzi mwenzngu