sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,522
- 7,370
Ikiwa imepita miaka takriban mitano tangu isambazwe propaganda kwamba wakati wa Jide umeisha kwaio ilimbidi akabidhi kijiti kwa msanii mwingine wa kike.
Kwa mtazamo wako unadhani ni nani aliyeweza kuvaa viatu vya Jide mpaka sasa na vikamtosha kuwa malkia wa bongofleva?
Mwasiti? Lina? Rachel? Vanessa? Au Nandy?