wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Hii ni baada ya member mmoja huku kuomba kuwa ile tren inayoenda moshi kuongezwe mabehewa ya kunywea bia na kiwe na nyama chama kabisa ili wasafiri waburudike zaidi waziri mwenye dhamana kamwele katangaza kuwa ataongeza hayo mabehewa.
Asante sana ulieleta ombi hilo humu jf ombi liko lilifanyiw kazi na limesikilizwa.
Asante sana ulieleta ombi hilo humu jf ombi liko lilifanyiw kazi na limesikilizwa.