Kaka, umemuuliza swali la msingi sana. Badala ya kumshambulia Chabruma, angechukua muda kufuatilia hayo yanayoandikwawewe unaonaje, anayoyafanyab LOWASSA ni sawa?
Mambo mengine yanasikitisha sana mtu wa shetani kumtaja mungu yani wewe na lowasa ufisadi wote mnaofanya bado unamtaja mungu kweli we bwawa.Naapa mbele za Mungu, Lowasa asipochaguliwa kugombea urais CCM inakufa rasi. siwezi kuwa sehemu ya kuwapitisha watu wasio na uwezo kazi kuwaza tu madawa ya kulevya kama dogo kipara na wengineo. Sisi tumejiandaa na Lowasa otherwise RIP CCM my stupid party with less convicing ideologies. Nyie mnaopiga kelele kuwa Lowasa ni fisadi ni kwa kuwa hamjui undani wa mambo yanayoendelea na yaliyosababisha mkasema hivyo na kung'oka kwa Lowasa. Siku akisema nchi haitatawalika. Waacheni watu wenye vifua wakae kimya. Ulizeni acheni kupayuka hovyo mbulula nyie.
Kila siku mnbamleta Apson hapa ,mbona hamuwasemi hao walioko kwenye makundi mengine kama afanyavyo Mtama na wenzake ambao mkuu wa kitongoji anawasapoti? BADILIKENI EL for presidential 2015
Lakin ingekuwa vizuri watu waliopo jikoni watupe taarifa zaidi. Maana makachero huwa wanajua kila kitu. Ila naona wana avoid hii topic sijui kwanini au sababu inamhusu bosi wao mstaafu.Mtiririko wa post za Chabruma zenyewe ni ushahidi tosha kuwa ni ukweli mtupu.
Hata mimi nashangaa kwanini wasimwage kila kitu hapa tujue kwanza huyo aliyekuwa boss wao amekuwa mwehu huwezi kuwa boss wa TISS halafu baadaye ukawa mjinga kama anavyofany Apsoni wamlipue tu tujue kila kitu.Lakin ingekuwa vizuri watu waliopo jikoni watupe taarifa zaidi. Maana makachero huwa wanajua kila kitu. Ila naona wana avoid hii topic sijui kwanini au sababu inamhusu bosi wao mstaafu.
Eti we ndo yule wa mapinduzi ya Zenji?:angry:FUATILIA MJADALA HOJA ZINAJENGWA KWA MTIRIRIKO..... amesema kuwa lowassa anagawa pesa kila mahala sasa je lowassa ni begi la BOT.... bila shaka wewe ni kijana tafuta namna ya kuweza kujenga hoja hasa pale ambapo watanzania wenzako tunazulimiwa na jasho letu na matapeli wa pesa za ESCROW ufisadi ambao hauja wahi kutokea kama kweli mnataka ukombozi na si kuwaandama viongozi wazalendo...
Huu ni uongo francis tupa hajawahi kusafiri yupo dar ,jaribu kuandika kitu ambacho unauhakika nacho si kuidanganya jamii
Lakini chanzo cha ugomvi wa Membe, Aposon na Kitine ulianzia St Peter?
Me simtaki Lowasa kutokana na ufisadi wake
Tuache masihara jamani, mwenye taarifa zozote zinazomhusu LOWASSA asiache kutujuza, huyu siyo mtu wa kuonea haya hasa ninapokumbuka ule mgawo wa Umeme uliosababishwa na RICHMOND(RICHARDMONDULI). Chambruma bwana wewe endelea kutuanikia huyu jamaa ni janga la kitaifa
Wewe sasa unaleta mambo mapya kabisa utakuwa unaumwa wewe.
Mkuu, hiyo St Peter ni nini? Mie nijuavyo ni mashirika ya kidini ya kikristo