Baada ya kutoka Kisongo Kumtembelea Lema, Lissu na Mbowe waongea na Wanahabari

Bramo

JF-Expert Member
Oct 21, 2009
13,176
10,068
Wakuu JF amani iwe Nanyi.

Heading ya uzi imejitosheleza kueleza maudhui na content ya uzi.
Niko eneo la tukio tayari kabisa kuwahabarisha kinachojiri.

Wana Arusha wamehamasika na Kufarijika sana na wana Shauku kubwa kusikia kitakachosemwa na Hawa Viongozi Nguli kabisa wa Ki Taifa kutoka CHADEMA.

Kuna wengine wameenda mbali na kusema kuwa neno la hawa Viongozi ni Kama Faraja kwa Mgonjwa Hospital ama Faraja kwa Mwenye kiu Jangwani mara apatapo Maji ya Kunywa.

Ntarudi Soon hapa Jukwaani baada ya ku gather Details zote.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki CHADEMA
 
Wakuu JF amani iwe Nanyi.

Heading ya uzi imejitosheleza kueleza maudhui na content ya uzi.
Niko eneo la tukio tayari kabisa kuwahabarisha kinachojiri.

Wana Arusha wamehamasika na Kufarijika sana na wana Shauku kubwa kusikia kitakachosemwa na Hawa Viongozi Nguli kabisa wa Ki Taifa kutoka CHADEMA.

Kuna wengine wameenda mbali na kusema kuwa neno la hawa Viongozi ni Kama Faraja kwa Mgonjwa Hospital ama Faraja kwa Mwenye kiu Jangwani mara apatapo Maji ya Kunywa.

Ntarudi Soon hapa Jukwaani baada ya ku gather Details zote.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki CHADEMA



Uje na details za ben sanaane,sababu hao wote wawili manguli wanapiga danadana .
 
Wanaendelea kutumbua ruzuku ya chadema..

Ukihoji kwa nini mnatumia hovyo ruzuku wakati chama hakina hata ofisi, nyumbu wote watakuimbia wewe ni msaliti!!
 
Uje na details za ben sanaane,sababu hao wote wawili manguli wanapiga danadana .
Key Words
Mbow
Lissu
Lema
Wana Arusha

Kama una Mengine anzisha uzi wako,Status ya Ben nenda Polisi ukaulizie.

PS
Ahsante kwa Kuja Mumy
 
Wanaendelea kutumbua ruzuku ya chadema..

Ukihoji kwa nini mnatumia hovyo ruzuku wakati chama hakina hata ofisi, nyumbu wote watakuimbia wewe ni msaliti!!
Umeikosa mliyompa Lipumba awagawie?
 
Wakuu JF amani iwe Nanyi.

Heading ya uzi imejitosheleza kueleza maudhui na content ya uzi.
Niko eneo la tukio tayari kabisa kuwahabarisha kinachojiri.

Wana Arusha wamehamasika na Kufarijika sana na wana Shauku kubwa kusikia kitakachosemwa na Hawa Viongozi Nguli kabisa wa Ki Taifa kutoka CHADEMA.

Kuna wengine wameenda mbali na kusema kuwa neno la hawa Viongozi ni Kama Faraja kwa Mgonjwa Hospital ama Faraja kwa Mwenye kiu Jangwani mara apatapo Maji ya Kunywa.

Ntarudi Soon hapa Jukwaani baada ya ku gather Details zote.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki CHADEMA
Huyu Lissu si mlisema Mawakili wa Serikali wanamuogopa??? Mbona hamtoi Lema??? Au ndio akili imegota???
 
Unaonaje uka Focus zaidi kumuandalia Mumeo Chai na maji ya kuoga ?
Ya CHADEMA hayakuhusu
Kwani wewe binti umeshaolewa nije kupeleka posa??
Wakuu JF amani iwe Nanyi.

Heading ya uzi imejitosheleza kueleza maudhui na content ya uzi.
Niko eneo la tukio tayari kabisa kuwahabarisha kinachojiri.

Wana Arusha wamehamasika na Kufarijika sana na wana Shauku kubwa kusikia kitakachosemwa na Hawa Viongozi Nguli kabisa wa Ki Taifa kutoka CHADEMA.

Kuna wengine wameenda mbali na kusema kuwa neno la hawa Viongozi ni Kama Faraja kwa Mgonjwa Hospital ama Faraja kwa Mwenye kiu Jangwani mara apatapo Maji ya Kunywa.

Ntarudi Soon hapa Jukwaani baada ya ku gather Details zote.

Mungu Ibariki Tanzania.
Mungu Ibariki CHADEMA
 
Back
Top Bottom