Pole sana ndugu,
Unaonekana ni mgeni sana kwenye maswala ya mapenzi.Kama kijana mzima mwenye akili timamu, maswala ya mapenzi huwezi kuyakwepa, ni jukumu lako kujitahidi kutafuta mwenzio ambaye yuko kifikra za mapenzi kama wewe na sio kuvamia vamia mtu yeyote. Kwa ufupi, huyo dada ni "GOLD DIGGER"
Mwisho, ningekuomba uzingatie masomo pia kwani bila kisomo, maisha yako yatakumbwa na misukosuko mingi...
Kila la kheri!!