Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,303
- 271,556
Baada ya kumaliza kongamano la Bavicha kesho Ruanda Nzovwe, Mbeya Mjini, Ambalo Chadema Wamegoma kulisitisha pamoja na Mkwara duni wa Polisi na kada wa ccm Francis Mutungi, Tundu Lissu atafanya Mikutano kadhaa ya hadhara kwenye Kanda hiyo.
Jambo la kufurahisha safari hii Jimbo la Kyela limekumbukwa na limepangiwa Mkutano Mkubwa wa Hadhara tarehe 15/08 (Nitakuwepo)
Ratiba kamili hii hapa
Jambo la kufurahisha safari hii Jimbo la Kyela limekumbukwa na limepangiwa Mkutano Mkubwa wa Hadhara tarehe 15/08 (Nitakuwepo)
Ratiba kamili hii hapa