mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Fella ndo aliyemuokota.Kumbe Fella ni mnyonyaji. Afadhali basi dogo afaidi matunda yake
Kumuokota sio tiketi ya kumnyonya.Fella ndo aliyemuokota.
Shi ngapi hiyo mkuu?bmw x3 hiyo safi nahis hata fella anaona aibu
Uliza sasa hizo nyumba anaishi nani
Fela aliwajengea nyumba na akawakabidhi. Sasa kati ya aliyewajengea nyumba na aliyemnunulia gari ni nani mwenye msaada? Kati ya nyumba na gari ipi ni asset na ipi ni liability?
bora gari mkuu..Gari ni nyumba inayotembea..
Fela aliwajengea nyumba na akawakabidhi. Sasa kati ya aliyewajengea nyumba na aliyemnunulia gari ni nani mwenye msaada? Kati ya nyumba na gari ipi ni asset na ipi ni liability?
Chambuso na mkubwa fella ni kama pete na kidole na Nina huhakika fella ana pasenti yake pale kwa asley.
Anawajengea nyumbani na hati anazo mwenyewe...mkuu huyo kawajengea au kawapangisha
Fela aliwajengea nyumba na akawakabidhi. Sasa kati ya aliyewajengea nyumba na aliyemnunulia gari ni nani mwenye msaada? Kati ya nyumba na gari ipi ni asset na ipi ni liability?