Baada ya Dege feki, rada feki, R'Mond feki, sasa uwanja feki

emedichi

Member
Mar 1, 2008
46
6
Mkandarasi alaumu uongozi wa U/Taifa

2008-04-17 10:01:14
By Jimmy Charles


 
Mbona na hilo ji-uwanja jipya halitumiki? Au ndio yale yale.

Mwewe uwanja mpya umejengwa kwa ajili ya makumbusho ya taifa. kazi yake ni kwa watanzania kwenda kuungalia then basi.

Ulijengwa wakati wa mzee Ben, na kilikuwa ni kijimradi cha kifisadi na ndio jambo pekee rais wetu aliyepita analojivunia na ndicho kitu kitakachotusaidia kumkumbuka.
 
Maskini Tanzania,tutaamka lini? kila kitu kibovu hata cha mabilioni,kila mmoja anakula kwake, tutapona kweli? imefika wakati watanzania tuongee ama sivyo patachimbika, Uwanja huo kweli ni museum kila mtanzania akapige picha
 
Inadaiwa hata hiyo kampuni ya KAJIMA iliyopaswa kujenga Kilwa Road, sio hao Wa-japan wanaohusika kwa sasa. Shoddy workmanships zimeanza kujitokeza kutokana na mvua zinazoendelea. Inadaiwa kazi zote zinafanywa na ma-sub contractors tu kwa kutumia vifaa vya Kajima! Kama ndivyo, kutajengwa barabara ya maana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…