Baada ya Brexit na tunajua UK ndo US na US ndo UK, basi Tanzania iachane na ule mtazamo wa NAM yatupasa kuchagua upande sahivi ili tuwe imala. Bila kuchagua upande tutakuwa vulnarable vya kutosha.
We need to swallow some of our prides na tuchukue upande, bila hivyo tutaumia, dunia ya sasa ya kibabe babe sana.
Mfano unaweza kwenda Urusi ukawaambia chimbeni uranium miaka 20 nipeni 20 S-400 defense systems.
We need to swallow some of our prides na tuchukue upande, bila hivyo tutaumia, dunia ya sasa ya kibabe babe sana.
Mfano unaweza kwenda Urusi ukawaambia chimbeni uranium miaka 20 nipeni 20 S-400 defense systems.