Mi np kibaigwa mkoani dodoma na hapa ni soko kuu la mahindi na anweza kusema ndio soko kubwa la mahindi hapa dodoma.mwaka jana muda kama huu tulikua tunanunua mahindi kwa sh elfu 25 kwa gunia la debe 7 na gunia la alizert tulinunua kwa elfu 22 ela ya kitanzania,but leo gunia hilo linauzwa kwa sh 48,500/= na alizert kwa sh 45,000/= na kwa sasa ndio kipindi cha mavuno.
Hebu tujiulize ifikapo mwezi wa 12 kipindi cha kilimo hilo gunia litauzwa kwa bei gn!??ni kweli kabisa,njaa inakuja na inatisha wakubwa.