<b>Magari mapya kwa bei Rahisi kabisa/b>

<b>Magari mapya kwa bei Rahisi kabisa/b>

Gariexpress

Member
Joined
Feb 23, 2015
Posts
44
Reaction score
11
Habari!
Kwa wanaohitaji magari yaliyoagizwa kutoka nje (JAPAN) kwa bei rahisi zaidi. Tunayo katika yadi yetu dar es salaam, Sinza. Kwa wanunuzi au wanohitaji magari mnakaribishwa. Unaweza kuja kututembelea kwenye yadi yetu au tembelea tovuti yetu - www.gariexpress.com


MAGARI BEST OFFERS:

1. PASSO - 7.5MIL
2. BREVIS - 10.5MIL
3. RACTIS - 11.5MIL
4. PORTE- 8.5MIL
5. MARK X - 16MIL
6. CROWN - 22MIL

NOTE:
Bei imejumuisha gharama zote za registration na kila kitu kasoro insurance ambayo ni chaguo lako mwenyew.

CONTACT (WHATSAPP AVAILABLE)

1. 0765072175
2. 0786 98 72 48


Thanks
Gariexpress.com
Support
 
Asante kwa taarifa mkuu, lakini.hebu fafanua haya magari ni mapya au used kutoka Japan?
 
Asante kwa taarifa mkuu, lakini.hebu fafanua haya magari ni mapya au used kutoka Japan?
Used japan ndo mpya kibongo Kwa maelezo zaidi yametumika japan tu (used overseas only). Yameagizwa kutoka japan as stated above. Shukrani.

Thanks
Gariexpress.com
support
 
Mkuu ungekuwa unaweka na picha ili uadd value biashara yako, maandishi tupu yanachosha.
 
Camry 2006 model black color inapatikana kwa ngapi ???
 
Used japan ndo mpya kibongo Kwa maelezo zaidi yametumika japan tu (used overseas only). Yameagizwa kutoka japan as stated above. Shukrani.

Thanks
Gariexpress.com
support

Used in Bongo then decorated as they are coming direct from Japan
 
passo 7.5m, porte 8.5m bila insurance tena? mbona ndo bei zake ikiwa na insurance
 
Gari express,
Hembu niambie kama mnakopesha na kulipa kwa awamu.Nawaachia kadi ya gari kisha gari nakuwa nayo .
Yaani nalipa Cash nusu ya bei ya gari
-Pick up Town ace or Lite Ace.Tani moja
-Suzuki Carry
Rejesho la mwezi sio 600,000
Sio fixed,maana kuna mishemishe nyingine inawezekana hata miezi mitatu isifike deni likaisha.
Ila gaurantee ni 600,000 kwa mwezi hadi kwisha deni.

Kwa mtu binafsi,maana wengine hatujaajiriwa serikali.
Ziada:-Kama kuna mwenye ku share hili anaweza kujazia wapi wanatoa kwa mfumo huo.
 
Gari express,
Hembu niambie kama mnakopesha na kulipa kwa awamu.Nawaachia kadi ya gari kisha gari nakuwa nayo .
Yaani nalipa Cash nusu ya bei ya gari
-Pick up Town ace or Lite Ace.Tani moja
-Suzuki Carry
Rejesho la mwezi sio 600,000
Sio fixed,maana kuna mishemishe nyingine inawezekana hata miezi mitatu isifike deni likaisha.
Ila gaurantee ni 600,000 kwa mwezi hadi kwisha deni.

Kwa mtu binafsi,maana wengine hatujaajiriwa serikali.
Ziada:-Kama kuna mwenye ku share hili anaweza kujazia wapi wanatoa kwa mfumo huo.

Nami nadandia hili nahitaji sana hii
 
Habari!
Kwa wanaohitaji magari yaliyoagizwa kutoka nje (JAPAN) kwa bei rahisi zaidi. Tunayo katika yadi yetu dar es salaam, Sinza. Kwa wanunuzi au wanohitaji magari mnakaribishwa. Unaweza kuja kututembelea kwenye yadi yetu au tembelea tovuti yetu - www.gariexpress.com


MAGARI BEST OFFERS:

1. PASSO - 7.5MIL
2. BREVIS - 10.5MIL
3. RACTIS - 11.5MIL
4. PORTE- 8.5MIL
5. MARK X - 16MIL
6. CROWN - 22MIL

NOTE:
Bei imejumuisha gharama zote za registration na kila kitu kasoro insurance ambayo ni chaguo lako mwenyew.

CONTACT (WHATSAPP AVAILABLE)

1. 0765072175
2. 0786 98 72 48


Thanks
Gariexpress.com
Support

How swift goes?
 
Nami nadandia hili nahitaji sana hii
Kwa sasa hatufanyi hivo tunauza kwa bei nzima sio kukopesha sababu magari huwa hayakai sana huwa yanauzwa kwa haraka sababu ya bei nafuu na wateja ni wengi. Karibu sana

Thanks
Gariexpress.com
Support
 
Gari express,
Hembu niambie kama mnakopesha na kulipa kwa awamu.Nawaachia kadi ya gari kisha gari nakuwa nayo .
Yaani nalipa Cash nusu ya bei ya gari
-Pick up Town ace or Lite Ace.Tani moja
-Suzuki Carry
Rejesho la mwezi sio 600,000
Sio fixed,maana kuna mishemishe nyingine inawezekana hata miezi mitatu isifike deni likaisha.
Ila gaurantee ni 600,000 kwa mwezi hadi kwisha deni.

Kwa mtu binafsi,maana wengine hatujaajiriwa serikali.
Ziada:-Kama kuna mwenye ku share hili anaweza kujazia wapi wanatoa kwa mfumo huo.

Word!!!
 
Used in Bongo then decorated as they are coming direct from Japan
Hamna magari yote ni imported from Japan na hayajatumika Tanzania na hayana plate number au registered mtu akinunua ndo tunafanya registration (Bei ina jumuisha cost zote za registrations). Karibu sana


Thanks
Gariexpress.com
Support
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom