AzamPay preps to launch AzamPesa

eti fintech, mnapenda sana sifa wakunya kuna mwenzenu youtuber anaomba msaada wa kulipa bill hospitali huko YouTube. dingi ake kalazwa aga khan kisumu bill imekuja kubwa wameshindwa kulipa. kamchangie kwanza
Kwani unafikiri agha Khan ni hospitali za maskini.
Alafu hilo ulotaja halina uhusiano wowote na Fintech, angalau ungenipatia paybill number basi ndo ihusiane na mambo ya financial technology.
 
Maskini mzee watu Mengi mswahili mwenzetu alijitahidi kufanya Hays ila kafa na yote yamekufa,wamebaki watu kupishana kwenye makorido ya mahakama
 
Kwani unafikiri agha Khan ni hospitali za maskini.
Alafu hilo ulotaja halina uhusiano wowote na Fintech, angalau ungenipatia paybill number basi ndo ihusiane na mambo ya financial technology.
nimekuwekea screenshot yenye maelezo yake . bill number and everything vipo. mchangie mkunya mwezio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…