Timu ya Azam imefungwa magoli mawili kwa moja. Source mchezaji wa Azam nimempigia cm.
magoli ni 2-0, hivyo wametolewa kwa 2-1 nasahihisha keyboard
Timu ya Azam imefungwa magoli mawili kwa moja. Source mchezaji wa Azam nimempigia cm.
Ni habari mbaya kabisa katika medani ya soka TZ.Ukizingatia tuna jinamizi la wamisri hapo machi 2014!!
Timu ya Azam imefungwa magoli mawili kwa moja. Source mchezaji wa Azam nimempigia cm.
si walisema wamenunua basi kama la manchester au real madrid mimi nikajua hawatafungwa kumbe wamefungwa
...Yanga kweli wana kazi kubwa kwa MAFILAUNI..!