Kuna wachezaji ambao hawana na mapenzi na Azam lakini wamewalazimisha kubaki kucheza Azam. Wachezaji hawa baadhi Yao wamewafungia kwa kisingizio Cha utovu wa nidhamu.
Ukweli ni kwamba club zisiwababinie wachezaji wanaotaka kuondoka hata kama wanaenda kwenye timu ambazo viongozi hawazipendi.
Kuna wachezaji ambao hawana na mapenzi na Azam lakini wamewalazimisha kubaki kucheza Azam. Wachezaji hawa baadhi Yao wamewafungia kwa kisingizio Cha utovu wa nidhamu.
Ukweli ni kwamba club zisiwababinie wachezaji wanaotaka kuondoka hata kama wanaenda kwenye timu ambazo viongozi hawazipendi.
Azam wanapotezwa na wachezaji wenye Uyanga yanga.
Baada ya kuwaza mafanikio ya timu yao Azam.
Wanaiwazia Yanga
Na Yanga yenyewe ndio hivyo tena.
Inaupiga mwingi sana mechi za matopeni.
Na dhidi ya Simba basi.
Azam ilibidi waendeleze lengo lao la kukuza vipaji wawalee vijana wao kutoka chini mpaka timu kubwa.
Tatizo lao wameacha malengo yao na kutaka kushindana na Simba na Yanga.
Azam ilibidi waendeleze lengo lao la kukuza vipaji wawalee vijana wao kutoka chini mpaka timu kubwa.
Tatizo lao wameacha malengo yao na kutaka kushindana na Simba na Yanga.
Timu ya mpira ya Azam ni hovyo sana. Sasa walikuwa na ulazima gani wakuwapeleka mkopo vijana wao kama Tapes Evans,Oscar Masai na wengine kama lengo lao ni kubaki kupambania namba tatu kwenye ligi.Sioni sababu ya kusajili foreign players kama Mbombo ambaye five clear chances of scoring a goal anachofanya zero.
Yanga haimtaki Morrison lakini viongozi wa Yanga hawataki kuamini kuwa Morison hakuwa na mkataba, ndiyo maana walikwenda cas. Kwakuwa viongozi walikuwa na kesi ya kudanganya mashabiki wa Yanga kuwa waliwadanganya, ndio maana wakakimbilia cas kujiosha.