Timu hii mwaka jana ilisifiwa sana kiasi kwamba wengine tulidhani itafika mbali sana.Ukweli walichojitahidi tu ni kuondoa unyonge wao dhidi ya Simba.Na hapa tuliona kocha aliyekuwa na mapenzi na yanga akifanya kila liwezekanalo kuifunga Simba na kuwalegezea yanga ili asaidie kutengeneza historia nzuri ya timu anayoipenda na sio kazi yake.
Azam mnapaswa kuweka mikakati ya kubeba makombe na siyo proganda hizi tunazosikia mara ooh wameng'oa chuma Raja wakati ni mchezaji hata hakupewa nafasi kubwa pale Raja.
Azam mnapaswa kuweka mikakati ya kubeba makombe na siyo proganda hizi tunazosikia mara ooh wameng'oa chuma Raja wakati ni mchezaji hata hakupewa nafasi kubwa pale Raja.