Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,060
- 18,029
Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!! Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama! Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa! Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
Kama vile sijaelewaJuzi nikaangalia ITV kupitia Emmanuel TV lakini nayo pia imepotea. Azam jamani jamani
Kwa Azam yanalipiwa mkuu! Na mwanzoni yalikuwepo ila sasa hakuna!Mbona hayo machannel ni ya burr ni kutega tu dish unayapata free
Nilikuwa naangalia ITV kwenye dikoda ya Azam kule kwenye other channels kuna channel inaitwa Emmanuel TV ulikuwa uki tune unapata ITVKama vile sijaelewa
Asante mkuuPole sana mkuu
Tulivumilia pale local chanel zilipoondolewa,tukailaumu serikali kwa kuwanyima kurusha chanel hizo za ndani,bado tuliridhika na baadhi ya chanel za nje kama Discovery science,Bet,Mbc1,2,3,4,Mbc action,power+nk, Watoto waliinjoy chanel zao kama Baby tv,Nickelodeon nk,lakini sasa hata hizo nazo hazipo tena!! Sijui tumlaumu nani,nimelipia bando la 28,000/lakini sioni cha kutazama! Naijutia hela yangu kwa kweli,hata ile ya music nayo wameondoa! Nimeikumbuka mchina yangu (startimes) mnatuangusha wateja wenu!
Kweli mkuu!Ukitaka burudani ya kweli nunua dstv..
Ila kama bajeti zinabana nenda tu kwa mchina (startimes)
Wamejaza mashekhe badala ya wataalam sijui walitaka kufungua madrasa
Tamthilia zote ni udini tupu .majuba na
Udini unaimaliza azam
Waliondoa taarifa ya habari azam two wakaweka tamthilia ya sultan na nabii hamza
Nilikuwa naangalia ITV kwenye dikoda ya Azam kule kwenye other channels kuna channel inaitwa Emmanuel TV ulikuwa uki tune unapata ITV
OkeeeNilikuwa naangalia ITV kwenye dikoda ya Azam kule kwenye other channels kuna channel inaitwa Emmanuel TV ulikuwa uki tune unapata ITV