Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Wakuu, mtakumbuka timu ya Azam ilipata kushiriki ' bonanza ' kama hizi huko Uganda na Zambia.
Wakubwa, Yanga na Simba, wakalalamika na kwa kuwa wanasikilizwa na TFF Azam FC ikapigwa marufuku. Na dhani sasa ni mida muafaka hawa Azam wakaruhusiwa kushiriki 'bonanza' zitakazo washirikisha kama Yanga na Simba kwenye ' Sports Pesa '.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakubwa, Yanga na Simba, wakalalamika na kwa kuwa wanasikilizwa na TFF Azam FC ikapigwa marufuku. Na dhani sasa ni mida muafaka hawa Azam wakaruhusiwa kushiriki 'bonanza' zitakazo washirikisha kama Yanga na Simba kwenye ' Sports Pesa '.
Sent using Jamii Forums mobile app