chaduma
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 205
- 259
Leo Azam imecheza na Maafande wa Mbeya na wametoa draw. Chakushangaza sioni kwenye mitandao taarifa zao kutawala kumekuwa kimya, sana sana habari za Yanga tu ndiyo zimetawala.
Draw ya pili kwa mfatano hakuna mashabiki wala wapenzi kukasirishwa tofauti ingekuwa Yanga au Simba. Team iliyowekeza vya kutosha kutoka sare za kiholela bado unataka Ubi gwa.Inamaana Azam ndiyo imepotezewa hivi haina mvuto ki hivi.
Pamoja na Bangala na Faisali kuwepo kundini. Nimeamini wekeza uwezavyo hapa TZ Yanga Simba habari nyingine.
Draw ya pili kwa mfatano hakuna mashabiki wala wapenzi kukasirishwa tofauti ingekuwa Yanga au Simba. Team iliyowekeza vya kutosha kutoka sare za kiholela bado unataka Ubi gwa.Inamaana Azam ndiyo imepotezewa hivi haina mvuto ki hivi.
Pamoja na Bangala na Faisali kuwepo kundini. Nimeamini wekeza uwezavyo hapa TZ Yanga Simba habari nyingine.