Mbona ziko hewani mkuuNatumaini wadau hamjambo-
wengine tupo nnje ya nchi na hua tunatumia sana azam application kutizama program za kiswahili pia na habari za nyumbani ila kwa sasa tunaona matangazo tu leo siku kama ya nne.
je kuna taarifa zozote kwanini zimekatwa?
nashukuru sana
Mbona ziko hewani mkuu
Nyingine zipo mkuu check UTV, zbc2Acha uongo mkuu mimi mwenyewe najaribu leo ni siku kama ya 5 hamna kitu hazifunguki na wanakuandikia kuwa wapo kweny marekebisho sasa we umeona wapiView attachment 1219851View attachment 1219852
Hiyo app ina karibu mwezi haifanyi kazi kwenye iOS
Yaani bado mnahangaika na hawa wahuni wa azam mimi nishafuta liapp lao zamani
Tumia POA tvNatumaini wadau hamjambo-
wengine tupo nnje ya nchi na hua tunatumia sana azam application kutizama program za kiswahili pia na habari za nyumbani ila kwa sasa tunaona matangazo tu leo siku kama ya nne.
je kuna taarifa zozote kwanini zimekatwa?
nashukuru sana
Hawa watu ni janga kwa nchi yetu utashangaa siku ya mechi mhimu kama ya taifa stars au hata ligi kuu ikifika mda wa mechi chanel inayoonyesha mpira wanaitoa kweny application ili watanzania tusione kupitia simu yaani wanatulazimisha wote tuangalie kweny tv mda mwingine mtu uko kazini au ofiisini unataka uangalie mpira kweny simu umejiandaa kabjsana bando lakini ukiingia unakuta wametoa chanel onyoonyesha mechi husika mpka mechi ikiisha ndo wana rudisha chanel kweny app
sasa mi najiuliza hivi kuna maana gani ya kuwa li application lenu kweny cm kama mnatufanyia uhuni huu kama ipo ipo tu tiachieni tuangalie mipira kweny application ya na kama ni mapato mtapata tu acheni izandiki kuweni wazalendo.
Hawa watu ni janga kwa nchi yetu utashangaa siku ya mechi mhimu kama ya taifa stars au hata ligi kuu ikifika mda wa mechi chanel inayoonyesha mpira wanaitoa kweny application ili watanzania tusione kupitia simu yaani wanatulazimisha wote tuangalie kweny tv mda mwingine mtu uko kazini au ofiisini unataka uangalie mpira kweny simu umejiandaa kabjsana bando lakini ukiingia unakuta wametoa chanel onyoonyesha mechi husika mpka mechi ikiisha ndo wana rudisha chanel kweny app
sasa mi najiuliza hivi kuna maana gani ya kuwa li application lenu kweny cm kama mnatufanyia uhuni huu kama ipo ipo tu tiachieni tuangalie mipira kweny application ya na kama ni mapato mtapata tu acheni izandiki kuweni wazalendo.