Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,961
- 20,164
DStv nyingi wanatumia EnglishKule kuna channel za kikristo nyingi, kwenye other channels amebakisha moja tu ya kiislam. NIlitamani ziendelee kuwepo manake kuna mahuburi sisi wengine huwa tunasikiliza kule. Laiti kama angekuwa amefuta kabla sijalipia kifurushi ningeshukuru. Kwangu hakuna shida kwasababu nina option ya DSTV ndiko nitakakohamia.
Sijui yule mzee wa TING Mchungaji Fernandez aliishia wapi na kile king'amuzi chake, atusambazie ili tusihangaike na hivi vingine ambavyo hawatoi kwa moyo ni hayo tu.
Sasa kama kanisa linaupigia Debe ushoga kwanini zisifutwe??Kule kuna channel za kikristo nyingi, kwenye other channels amebakisha moja tu ya kiislam. NIlitamani ziendelee kuwepo manake kuna mahuburi sisi wengine huwa tunasikiliza kule. Laiti kama angekuwa amefuta kabla sijalipia kifurushi ningeshukuru. Kwangu hakuna shida kwasababu nina option ya DSTV ndiko nitakakohamia.
Sijui yule mzee wa TING Mchungaji Fernandez aliishia wapi na kile king'amuzi chake, atusambazie ili tusihangaike na hivi vingine ambavyo hawatoi kwa moyo ni hayo tu.
acha ujinga kanisa gani linapigia debe ushoga?Sasa kama kanisa linaupigia Debe ushoga kwanini zisifutwe??
Unataka watoto wetu wawe wanafundishwa ushoga huko Azam??
Catholicacha ujinga kanisa gani linapigia debe ushoga?
Utakuwa ulishaleft group aka pungaCatholic
Acha ujinga wa kutetea maovu
Fanya upate bwana uolewe,kanisa limeshabariki hukoUtakuwa ulishaleft group aka punga
Unaevidence yoyote ya catholic kusapoti ushoga?
kwa hiyo unadhani ukatoliki ndio ukristo?Catholic
Acha ujinga wa kutetea maovu
Unamaanisha ukatokiki ni uislamukwa hiyo unadhani ukatoliki ndio ukristo?
upendonazam ipoDStv ipo Upendo no 388
sio kweli channels za kikisto zipo nyingi tuKule kuna channel za kikristo nyingi, kwenye other channels amebakisha moja tu ya kiislam. NIlitamani ziendelee kuwepo manake kuna mahuburi sisi wengine huwa tunasikiliza kule. Laiti kama angekuwa amefuta kabla sijalipia kifurushi ningeshukuru. Kwangu hakuna shida kwasababu nina option ya DSTV ndiko nitakakohamia.
Sijui yule mzee wa TING Mchungaji Fernandez aliishia wapi na kile king'amuzi chake, atusambazie ili tusihangaike na hivi vingine ambavyo hawatoi kwa moyo ni hayo tu.
kwa kawaida kila mchezo azam hufunga kamera 7Nje ya mada;..angalia game ya yanga motion zake sijui wamefunga camera ngap yaani et HD
mimi pia napenda mahubiri ya english, kwasababu naelewa english. kuna shida hapo?DStv nyingi wanatumia English
hii kauli angeniambia bahresa ningestuka, ial kwasababu ni wewe, sina majibu.funguwa na wewe mitandao yako ufute za kiislamu kwani akifuta za kikristo tatizo liko wapi? makafiri