Daah base lake lilikuaga lipo vizuri sana haswa akijiitaga Isaac Muyanji Gamba, nakumbuka world cup gani sijui UEFA ile aliendaga uwanja wa Allianz Arena Ujerumani akasemaga wajerumani wabaguzi sana kuna watu wamezaliwa hawajawahi kuona mtu mweusi hivyo wanakufuta futa angalau uwe kama waodaah