GE2025 Aweso: Samia ametekeleza maono ya Mwalimu Nyerere kwenye sekta ya maji

GE2025 Aweso: Samia ametekeleza maono ya Mwalimu Nyerere kwenye sekta ya maji

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Dkt. Samia Suluhu Hassan analiangazia Jiji la Dar Es Salaam kwa miaka 25 ijayo. Anajua Dar Es Salaam ni Jiji la Biashara, anatambua Jiji hili ndiyo kitovu cha uchumi wa nchi hii, amefanya maamuzi, tunaenda kujenga Bwawa la Kidunda, Bwawa ambalo lilikuwa ni ndoto ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Maamuzi yamebadilika mara kwa mara kwenye Bunge la Tanzania na Watanzania niwaambie Dkt. Samia amesema imetosha, tunajenga kwa fedha zetu wenyewe, zaidi ya shilingi Bilioni 336 anazitoa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mkandarasi yupo site na leo tunazungumza asilimia 32 ya utekelezaji wa mradi wa maji Kidunda.

"Mhe. Mgombea wa Kiti cha Urais Dkt. Samia, sisi tunakuombea mema tarehe 29 Oktoba sio kushinda ni unaenda kupata ushindi wa Kimbunga. Haya maamuzi ambayo umeyafanya utakumbukwa milele na milele katika kuhakikisha unatatua matatizo, sisi sasa hivi tunachopambana nacho ni kuendelea kuboresha huduma kwa wateja, mwananchi anataka kuunganishiwa maji yake, tumeelekeza na ndiyo maelekezo yako isizidi siku 7 mwananchi apate huduma ya maji safi na salama.Maelekezo yako uliyotupatia ni haki ya mwananchi kupata maji lakini pia unachukizwa na haupendi mwananchi anabambikiziwa bili ya maji. Suala la ubambikiziaji wa bili za maji nataka muwaambie wasoma mita kuwa hizo ni zilipendwa, Dkt. Samia maelekezo yake sasa hivi tunakwenda kutumia luku ya maji kama za umeme.

"Ndugu zangu mkimpata kiongozi anawavusha kwenye kiangazi, wewe mvushe kwenye masika. Dkt. Samia ametuvusha kwenye nyakati zote, kuwa na Kiongozi wa aina yake, hawapatikanaji kila mahali na kila wakati, tumempata tumtumie kwa maslahi ya wana Dar Es Salaam na watanzania ili kuijenga Tanzania tuitakayo."- Jumaa Aweso, Mgombea Ubunge Jimbo la Pangani Mkoani Tanga na Waziri wa Maji akimnadi Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassaneo Jumanne Oktoba 21, 2025 Wilayani Kinondoni Mkoani Dar Es Salaam.
 
Sidhani kama ni Nyerere ndio alisema In abundance of Water a Fool is Thirsty.....

Na hicho ndio kinatokea watu tumezungukwa na maziwa makuu and yet miji mikuu wanakosa maji na hata kule Bush kulikokuwa na Mito ya kutosha sasa hivi inakauka
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Dkt. Samia Suluhu Hassan analiangazia Jiji la Dar Es Salaam kwa miaka 25 ijayo. Anajua Dar Es Salaam ni Jiji la Biashara, anatambua Jiji hili ndiyo kitovu cha uchumi wa nchi hii, amefanya maamuzi, tunaenda kujenga Bwawa la Kidunda, Bwawa ambalo lilikuwa ni ndoto ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Maamuzi yamebadilika mara kwa mara kwenye Bunge la Tanzania na Watanzania niwaambie Dkt. Samia amesema imetosha, tunajenga kwa fedha zetu wenyewe, zaidi ya shilingi Bilioni 336 anazitoa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mkandarasi yupo site na leo tunazungumza asilimia 32 ya utekelezaji wa mradi wa maji Kidunda.

"Mhe. Mgombea wa Kiti cha Urais Dkt. Samia, sisi tunakuombea mema tarehe 29 Oktoba sio kushinda ni unaenda kupata ushindi wa Kimbunga. Haya maamuzi ambayo umeyafanya utakumbukwa milele na milele katika kuhakikisha unatatua matatizo, sisi sasa hivi tunachopambana nacho ni kuendelea kuboresha huduma kwa wateja, mwananchi anataka kuunganishiwa maji yake, tumeelekeza na ndiyo maelekezo yako isizidi siku 7 mwananchi apate huduma ya maji safi na salama.Maelekezo yako uliyotupatia ni haki ya mwananchi kupata maji lakini pia unachukizwa na haupendi mwananchi anabambikiziwa bili ya maji. Suala la ubambikiziaji wa bili za maji nataka muwaambie wasoma mita kuwa hizo ni zilipendwa, Dkt. Samia maelekezo yake sasa hivi tunakwenda kutumia luku ya maji kama za umeme.

"Ndugu zangu mkimpata kiongozi anawavusha kwenye kiangazi, wewe mvushe kwenye masika. Dkt. Samia ametuvusha kwenye nyakati zote, kuwa na Kiongozi wa aina yake, hawapatikanaji kila mahali na kila wakati, tumempata tumtumie kwa maslahi ya wana Dar Es Salaam na watanzania ili kuijenga Tanzania tuitakayo."- Jumaa Aweso, Mgombea Ubunge Jimbo la Pangani Mkoani Tanga na Waziri wa Maji akimnadi Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassaneo Jumanne Oktoba 21, 2025 Wilayani Kinondoni Mkoani Dar Es Salaam.
Du aisee
 
Back
Top Bottom