kutokana na matangazo ya vyuo kadhaa vilivyotoa majina ya wanafunzi watakao jiunga vyuo hivyo mwaka wa masomo 2013/2014.Nidhahiri kuwa chuo ni mwezi wa kumi na kuna baadhi wataripoti mwezi wa tisa hivyo sidhani kama kutakuwa na intake ya tatu ya kwenda jkt.ILA KWA UHAKIKA ZAIDI TUJARIBU KUSUBIRI TAMKO LA JKT NA JKT WENYEWE MAANA SIUNAJUA NCHI YETU ILIVYO KIGEUGEU.
Wakuu nackia mfumo ni hv; first year wote tunapata hostel ila tukiingia 2nd year ndo wote tunaaendaa mtaan kupanga ili kupisha first year watakaokuja nyuma yetuu! So na nyinyi jaribun kuuliza wana ARDHI
It means hata waliopo JKT hawatasubiri hadi miezi mitatu iishe maana ingeisha tar 24 sept, 2013 ambapo kuna vyuo ndo mida hiyo vinafungua so itabidi waondoke kule earlier ili kuja kujiandaa!
It means hata waliopo JKT hawatasubiri hadi miezi mitatu iishe maana ingeisha tar 24 sept, 2013 ambapo kuna vyuo ndo mida hiyo vinafungua so itabidi waondoke kule earlier ili kuja kujiandaa!
It means hata waliopo JKT hawatasubiri hadi miezi mitatu iishe maana ingeisha tar 24 sept, 2013 ambapo kuna vyuo ndo mida hiyo vinafungua so itabidi waondoke kule earlier ili kuja kujiandaa!
mwanangu ndo hivo!
Halafu siku chache kabla ya tangazo kutoka tulikuwa tumejiandaa kusheherekea birthday yangu 2nd July(mimi na yeye tu)
dah!
Ndo wakatoa mtangazo wao kwamba inabidi waende jkt!
Yaani huwezi amini hiyo tar 2 nililala tu maana sikuwa na mzuka kabisa!
Japo aliandaaga zawadi ila aliyeambiwa anipe hiyo tar 2 naye hakuleta(maybe alisahau) na mimi kumuuliza naona co mzuka!
It means hata waliopo JKT hawatasubiri hadi miezi mitatu iishe maana ingeisha tar 24 sept, 2013 ambapo kuna vyuo ndo mida hiyo vinafungua so itabidi waondoke kule earlier ili kuja kujiandaa!