Mmmmh,mambo yenu ya siasa mi simo kabisa. Halafu mambo mengine hutokea by default tu kwa sababu naamini hata kama siyo CCM,bado kwa kuwa watu wapo,mambo yangefanyika tu,ili mradi tunaishi,tungejiwekea utaratibu na bado tungesonga. Mimi kipekee naamini katika Utaifa kuliko hayo mambo yenu ya Siasa.