In Prime Minister's Speech there is no explanation on why the laws and policies of successive parliaments and governments of white Australians had inflicted profound grief, suffering and loss on their fellow Australians the Aborigines.
The Australian capitalist-settler society was established in 1788and was based on the private ownership of land. This is what brought it into head-on collision with the Aboriginal people who had inhabited the continent for the previous 40,000 years. They had to be cleared from the land by any means possibleshooting, poisoning and the introduction of diseases.
Wa-Astralia walitegemea kwamba kwa kuondoa wale Aborigines machotara kungeondoa kabisa rangi ya mtu mweusi na kuitokomeza kabisa na kupata rangi ifananayo na ya kwao wazungu!
Lakini kwa kudra za mwenyezi Mungu, mtu mweusi ni imara popote pale alipo na wa-Aborigino wanaishi hadi kesho.
Wazungu ni watu wa ajabu sana!