Toto mol
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 2,512
- 3,726
AiseeeMwanao akifanikiwa kuzaliwa Tanzania hakikisha anakimbia anaenda duniani kutafuta maisha kwanza nchi yake washaanza kuiuza upya hakuna maisha hapa
AiseeeMwanao akifanikiwa kuzaliwa Tanzania hakikisha anakimbia anaenda duniani kutafuta maisha kwanza nchi yake washaanza kuiuza upya hakuna maisha hapa
Sahihi kabisa,Umesahau mv Nyerere
Exactly bossKule hakuna mambo ya makafara
Mtafute mtu anaitwa Kanyerere pia Katekela wanazielezea vya kutosha hizi ajali walizishiriki kabla awajatoka kwa shetani.Exactly boss
Hiyo ajali ya Mv Bukoba na ile ya Treni nilisikia ni makafara ya Watawala, ingawa sikujua mantiki yake
Ooh........nitafatilia KiongoziMtafute mtu anaitwa Kanyerere pia Katekela wanazielezea vya kutosha hizi ajali walizishiriki kabla awajatoka kwa shetani.
Mv bukoba,kikombe Cha babu na noti ya Mia 5 vinamahusiano
HavijitambuiDah! Mkuu mbona unaponda vya kwetu aseee😅🤣