GE2025 Atranus Method amechukua fomu kuwania ubunge Jimbo la Buchosa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Atranus Method (kulia) amechukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge Jimbo la Buchosa, leo Julai 2, 2025 na kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semindu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…