kidhadhi cha nyoka anafikiria huko alikoenda maisha ni mteremko, sanasana anaenda kufua vijeans vya huyo ----- wake,kupika na kupakua akichokwa anatupiwa virago vyake nje, amebalehe anadhani amekua hadi kaota mapembe mbona hiyo ni trela.Dunia itamfundisha.
Jiran yetu leo amtimua mwanae wa kike kisa kutukanwa na bwana wa mtoto. Tusi ambalalo lilomfanya afukuze mtoto uyo ni.(siri kdogo)ili ni neno la mwisho kwa uyo jamaa--> Usimwogope uyo mwanajeshi,) hanalolote) na nukuu kauli aliyosema mtoto wa kike: baada ya kipgo baba mi nahama sitaki kupipwa pigwa na wewe maana mi mtoto wa kike ninamambo yangu mbya yaidi ilneno je unataka kuninani......wewe au) je nikauli zuri ya uyu mtto jaman?